Simba imefanya kazi kubwa ya kuipa ubingwa Yanga msimu huu - EDUSPORTSTZ

Latest

Simba imefanya kazi kubwa ya kuipa ubingwa Yanga msimu huu

Simba imefanya kazi kubwa ya kuipa ubingwa Yanga msimu huu

Ba Bado pointi 3 wananchi watangazwe kuwa mabingwa wa ligi kuu msimu 2023/2024  Yanga jumatatu anakipiga dhidi ya wakata miwa mtibwa sugar usikose kuitazama mechi hii ya kibabe live bure kupitia simu yako bonyeza hapa kudownload app itakayorusha mechi hii live buree kabisa unafeli wapi au unaogopa nini bofya sasa na kama hutaipenda hii app we ifute tu ila najua uitaipenda kwasababu ina mambo mengi matamu

Baada ya Simba SC kushinda dhidi ya Azam FC, Young Africans SC wanahitaji pointi (3) pekee badala ya (5) za awali kutwaa Ubingwa wa (30) wa ligi kuu Tanzania bara bila kujali matokeo ya timu zingine.

Simba akishinda mechi zote (5) zilizobaki atafikisha points (71). Azam FC akishinda mechi zake zote (4) atafikisha points (69). Yanga akishinda dhidi ya Mtibwa mechi inayofuata atafikisha pointi (71).

Kwa mujibu wa kanuni mpya timu zikilingana points wanaangalia head to head hivyo automatically Yanga anakuwa bingwa kwa sababu kamfunga Simba home and away (1-5) & (2-1) kwa Aggregate ya (7-2) hata idadi ya mabao, Yanga anatofauti kubwa ya mabao ya kufunga na kufungwa ikilinganisha na Simba.

Yanga anamzidi Simba takribani mabao 20 ambayo si rahisi kuyafikia ndani ya mechi chache zilizobaki.

Msimu huu unaweza kusema ni kama Simba imeizawadia ubingwa Yanga kwa kuipa alama zote Sita na bao 7. Simba KuIfunga Azam ni njia nyingine ya kuisogezea Ubingwa Yanga. Hivyo Simba imechangia pakubwa sana kwenye kumpa ubingwa mtani wake Yanga msimu huu.

Kwa kifupi ni kwamba Yanga SC wakishinda dhidi ya Mtibwa Mei 13 wanatwaa Ubingwa wa (3) mfululizo wa ligi kuu Tanzania bara wakiwa na viporo vitatu mkononi.

Mechi za kufunga msimu Ligi Kuu | Mei


Young Africans SC:

◉ 13 - Mtibwa » Ugenini.

◉ 22 - Dodoma Jiji » Ugenini.

◉ 25 - Tabora United » Nyumbani.

◉ 28 - Prisons » Nyumbani.

Azam Football Club:

◉ 12 - KMC » Ugenini

◉ 20 - JKT Tanzania.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz