Hawa hapa wachezaji watakao temwa yanga - EDUSPORTSTZ

Latest

Hawa hapa wachezaji watakao temwa yanga

 Yanga kufanya maamuzi magumu

Kesho ni Yanga vs Mashujaa wananchi hawana dogo usikose kuitazama mechi hii live buree kabisa kupitia simu yako bonyeza hapa kudownload app itakayorusha mechi hii live bureee kabisa bofya sasa

Kwa mujibu wa almachiuskanyasi Klabu ya Young Sports Club ilikwishaanza Mazungumzo ya kuwaongezea Kandarasi baadhi inatamatika na wanahitajika klabuni Wachezaji hao ambao Mikataba yao.

Farid Mussa - Ni kweli mkataba wake unatamatika mwishoni mwa msimu huu ila mpaka muda huu hakuna mazungimumzo yoyote yaliyoanza.

Zawadi Mauya - Kweli mkataba wake unatamatika mwishoni mwa msimu huu ila imefahamika kuwa Klabu ya Yanga haina Mpango wa kuendelea kuwa nae.

Denis Nkane - Mwisho wa Msimu huu atakuwa Mchezaji huru na imefahamika kuwa klab yake ya Yanga haina Mpango nae tena.

Nickson Kibabage - Yes ameshaongeza mkataba mpya wa Miaka 3 baada ya ule wa Mkopo kutamatika.

Clement Mzize - Mkataba wake na Young Africans ulikuwa unaelekea ukingoni ila tayari ameshaongeza kandarasi ya miaka 2.

Makudubela Skudu - Ameshataarifiwa kuwa klab ya Yanga hakina Mpango nae kuelekea Msimu ujao.


Kibwana Shomari - Kweli Mkataba wake na Yanga unaelekea ukingoni ila Mazungumzo ya Mkataba mpya yameanza na klab yake licha ya kuwa tayari ana ofa 3 mkononi mwake.

Bakar Mwamnyeto - Mazungumzo ya mkataba mpya yameanza na muelekeo wake mzuri, tayari alikuwa na ofa za vilabu viwili vikimuhitaji.

Joyce Lomalisa - Ni kweli Mkataba wake unaelekea tamati na hakuna mazungumzo yoyote ya kuongeza kandarasi Mpya mpaka muda huu.

Metacha Mnata - Kandarasi yake na Klabu ya Yanga inaelekea mwishoni kabisa ila bado hakuna mazungumzo ya mkataba mpya.

Pacome Zouzoua - Ni kweli amesaliwa na mkataba wa mwaka mmoja ila klabu yake imepanga kumuongezea miaka miwili zaidi.

Aziz Ki - Mkataba wake ukiwa ukingoni taarifa za ndani ya uongozi wa Yanga zinadai alishaongeza kandarasi na waajiri wake ambao ni Yanga.

Kuna uwezekano kuna wachezaji Wazawa wasiopungua 3 wataachwa baada ya mikataba yao kuisha na wapo wakigeni pia wasiopungua 4 ili kupisha maingizo mapya.

Imefahamika kuwa Klabu ya Yanga itasajili wachezaji wasiopungua 4 wakigeni, washambuliaji wawli, kiungo mmoja na Mlinzi wa kushoto 1 hao ndio wanawanchi kuelekea dirisha kubwa la usajili.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz