Ayoub Lakred anasepa Simba - EDUSPORTSTZ

Latest

Ayoub Lakred anasepa Simba

Ayoub Lakred kutimka Simba

Ni jumapili hii Yanga vs Azam fc fainali ya kombe la shirikisho unaanzaje kukosa kuitazama mechi hii live bureee bonyeza hapa kisha bofya picha yenye neno download app yetu ili kuangalia mechi hii live buree kabisa unakosaje kwa mfano bofya sasa

Taarifa kutoka chanzo chetu ndani ya Klabu ya Simba zinaeleza kuwa kuna kila dalili ya Simba kumpoteza kipa wao namba moja wa sasa, raia wa Morocco Ayoub Lakred.

Uongozi wa Simba bado hauna uhakika wa kusalia kwa kipa wao namba moja Ayoub Lakred ambaye inaelezwa huenda akaachana na timu hiyo baada ya kumaliza mkataba wake mwisho wa msimu huu.

Ayoub alijiunga na Yanga mwanzoni mwa msimu huu akitokea FAR Rabat ya nyumbani kwao Morocco, lakini miamba ya soka ya Morocco, Wydad Casablanca inadaiwa kuwa wameonesha nia ya kumtaka kipa huyo mwenye umri wa miaka 28.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz