ZENGWE: Kuna vigogo hawamtaki Benchikha pale Simba - EDUSPORTSTZ

Latest

ZENGWE: Kuna vigogo hawamtaki Benchikha pale Simba

ZENGWE: Kuna vigogo hawamtaki Benchikha pale Simba

KVZ vs SIMBA ni leo unaanzaje kuikosa mechi hii bonyeza hapa kudownload app itakayorusha mechi hii live buree kabisa ili uweze kuitazama mechi hii kwenye simu yako

Mtangazaji Paul Mkai ameibua zengwe kuwa, kuna baadhi ya vigogo ambao wanaanzisha vuguvugu la kutaka kumtimua kocha wa Simba SC, Abdelhak Benchikha.

Amesema watu hao ni miongoni mwa wale washauri 21 walioteuliwa na Rais wa Heshima wa klabu hiyo, Mohamed Dewji.

“Kuna baadhi ya Wajumbe wa bodi ya Simba na lile kundi la Washauri 21 baadhi yao wamemuundia zengwe Benchikha afukuzwe ndani ya Simba Sc” @paulmkaitz



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz