Jana Yanga ilikamilisha idadi ya timu nane zilizofanikiwa kutinga robo fainali ya kombe la Shirikisho la CRDB baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Dodoma Jiji
Unaweza kusema Wananchi wamebakisha dakika 270 tu kama watachanga karata zao vyema, watalirejesha taji hilo Jangwani kwa msimu wa tatu mfululizo
Timu nyingine zilizofuzu robo fainali ni Namungo Fc, Geita Gold, Tabora United, Coastal Union na Ihefu Fc
Nyingine ni Azam Fc na Mashujaa ambao waliitupa nje Simba
JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA
PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE HAPA
No comments:
Post a Comment