Fahamu kuhusu kanuni ya michuano ya CAFCL - EDUSPORTSTZ

Latest

Fahamu kuhusu kanuni ya michuano ya CAFCL

Fahamu kuhusu kanuni ya michuano ya CAFCL

Leo ndio kivumbi na Jasho kudadeki usikose kuitazama mechi ya Mamelodi vs Yanga live buree kabisa bonyeza hapa kudownload app itakayorusha mechi hii buree kabisa bofya sasa kuidownload ili usipitwe

Young Africans pamoja na kwamba inahitaji ushindi ili iweze kutinga hatua ya Nusu Fainali, inahitaji pia sare yoyote ya mabao ili kuweza kuiondosha Mamelodi Sundowns mashindanoni, kwani itabebwa na bao la ugenini, huku yenyewe ikiwa haijaruhusu bao lolote ikicheza nyumbani.

Kanuni za ligi hiyo zinasema hakutokuwa na muda wa nyongeza timu zitakapomaliza kwa sare yoyote ile, badala yake itaangaliwa aliyeshinda bao la ugenini, au mabao mengi ugenini ili kupata mshindi na kama timu zote zitakuwa zimetoka sare zinazofanana nyumbani na ugenini, basi moja kwa moja zitakwenda kupigiana mikwaju ya Penati baada ya dakika 90 za mchezo.

Kanuni hiyo pia inasema hata timu ikishinda idadi ya mabao kama yale ambayo mpinzani wake ameshinda katika mechi ya kwanza, basi moja kwa moja watakwenda kwenye mikwaju ya Penati na si kuongeza dakika.

Kwa maana hiyo, Young Africans ilitoka suluhu tena ya bila kufungana na wapinzani wao, na Simba ikashinda bao 1-0 Cairo, basi mikwaju ya Penati itahusika.

JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz