Yanga kuwakosa Wachezaji watano muhimu, Gamondi athibitisha - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga kuwakosa Wachezaji watano muhimu, Gamondi athibitisha

Yanga kuwakosa Wachezaji watano muhimu, Gamondi athibitisha

Ni leo usikose kuitazama mechi ya Simba vs Al ahly live bure kupitia simu yako bonyeza hapa kudownload app itakayo rusha mechi hii bure kabisa bofya sasa kuipakua

Kocha Mkuu wa Young Africans Miguel Gamondi amethibitisha kuwa atawakosa wachezaji muhimu wasiopungua watatu kuelekea kwenye mechi yao ya CAF CL dhidi ya Mamelodi Sundowns kutokana na majeraha.

Gamondi amewataja Khalid Aucho, Attohoula Yao, Kibwana Shomari na Pacome Zouzoua kama wachezaji ambao wapo shakani kucheza mechi hiyo.

Pia Gamondi amethibitisha kuwa Aziz KI hajarejea hivyo hajui kama atarudi akiwa salama au la.

JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz