
Kocha Mkuu wa Young Africans Miguel Gamondi amethibitisha kuwa atawakosa wachezaji muhimu wasiopungua watatu kuelekea kwenye mechi yao ya CAF CL dhidi ya Mamelodi Sundowns kutokana na majeraha.

Kocha Mkuu wa Young Africans Miguel Gamondi amethibitisha kuwa atawakosa wachezaji muhimu wasiopungua watatu kuelekea kwenye mechi yao ya CAF CL dhidi ya Mamelodi Sundowns kutokana na majeraha.
Post a Comment