Ratiba ya mechi nne za Simba zinazo fuata - EDUSPORTSTZ

Latest

Ratiba ya mechi nne za Simba zinazo fuata

 Simba SC kuamua hatma yao CAF

Baada ya kutinga robo fainali ya ligi ya mabingwa kibabe kwa ushindi wa mabao 6-0 dhidi ya Jwaneng Galaxy, kikosi cha Simba sasa kinhamishia makali yake kwenye ligi kuu ya NBC


Mnyama anautaka ubingwa msimu hivyo ni wazi kila atakayekuja mbele anapaswa akabidhi alama zote tatu kwa wababe hao wa Kimataifa


Kazi inaanza Jumatano March 06 mkoani Morogoro kwa mchezo dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa uwanja wa Jamhuri

USikose kuitazama mechi ya Simba vs Tz prison live bure kupitia simu yako Bonyeza hapa kudownload app yetu itakayo kuwezesha kuitazama mechi hii mubashara bure yaani mb za mia Tano unaangalia mechi mpaka inaisha

Ratiba itaendelea kwa mechi mfululizo ambazo zitakuwa zikipigwa kila baada ya siku tatu


Baada ya Prisons watakaoufuata ni Coastal Union (ugenini) na mechi mbili dhidi ya Singida FG na Mashujaa ambazo zitapigwa uwanja wa Jamhuri


Simba inashika nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi ikiwa na alama 36 lakini pia ikiwa na mechi nne za viporo


Yanga bado inaongoza na alama 43 sawa na Azam FC ambao hata hivyo wamecheza mechi tatu zaidi

JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz