Pacome achaguliwa mchezaji bora wa CAFCL - EDUSPORTSTZ

Latest

Pacome achaguliwa mchezaji bora wa CAFCL

Pacome achaguliwa mchezaji bora wa CAFCL

Kiungo mshambuliaji wa Klabu ya Yanga, Pacome Zouzoua raia wa Ivory Coast amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa hatua ya makundi CAF champions league 2023/24.

Usikose kuitazama mechi ya Namungo vs Yanga live bure kwenye Simu yako Bonyeza hapa kudownload app yetu itakayo kuwezesha kuitazama mechi hii live bure kabisa

Pacome ambaye ameonesha kiwango kikubwa kwenye michuano hiyo msimu huu, amepata rating ya (7.99) akiwa kachaguliwa kuwa Man of the match kwenye michezo (2) kati ya michezo (6) kwenye group stage.

Anafuatiwa na Mostafa Shobeir wa Klabu ya Al-Ahly mwenye wastani wa (R - 7.93)

1 ◉ 7.99 — Pacome Zouzoua - Mshindi

2 ◉ 7.93 — Mostafa Shobeir

3 ◉ 7.74 — Sankara Karamoko

4 ◉ 7.73 — Ali Maaloul


5 ◉ 7.73 — Wonlo Coulibaly

Hawa ndio wachezaji walio perform vizuri zaidi kwenye mechi nyingi hatua ya group stage CAF-CL, rating zao zimejumlishwa na Pacome akaibuka kuwa kinara

Vinara wa magoli group stage CAF champions league 23/24.

1. ⚽ 4 assist 1 — Sankara Karamoko - Out

2. ⚽ 3 assist 2 — Pacome Zouzoua


3. ⚽ 3 assist 0 — Hussein El Shahat

4. ⚽ 3 assist 0 — Benguit - Out.

JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPAz



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz