Ni Mamelodi, Asec au Petro dhidi ya Yanga - EDUSPORTSTZ

Latest

Ni Mamelodi, Asec au Petro dhidi ya Yanga

 Yanga mdomoni mwa vigogo Afrika

Mechi za kukamilisha hatua ya makundi ligi ya mabingwa zilipigwa jana na sasa kinachosubiriwa ni droo ya robo fainali itakayofanyika huko Misri

Leo ni Man city vs Man united Bonyeza hapa kuidownload app yetu Ili uweze kuitazama mechi hii live bure kupitia simu yako

Timu zilizomaliza nafasi ya kwanza katika makundi yao ni Mamelodi Sundowns, Asec Mimosas, Petro Atletico na Al Ahly wakati TP Mazembe, Simba, Esperance na Yanga zikimaliza katika nafasi ya pili katika kila kundi


Katika droo ya robo fainali timu zilizomaliza nafasi ya pili zitapangwa dhidi ya timu zilizomaliza vinara katika makundi tofauti


Kwa maana Yanga itapangwa dhidi ya kinara wa kundi A, B au C yaani Mamelodi Sundowns, Asec Mimosas au Petro Atletico


Mechi za robo fainali mkondo wa kwanza zinatarajiwa kupigwa mwishoni mwa mwezi huu Yanga ikianzia nyumbani na kumalizia ugenini



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz