Nabi Bingwa wa Morocco, Wydad hatoshiriki CAFCL msimu ujao - EDUSPORTSTZ

Latest

Nabi Bingwa wa Morocco, Wydad hatoshiriki CAFCL msimu ujao

Nabi anachukua Ubingwa wa Morocco, Wydad chali

Yanga vs Mamelodi, Simba vs Al ahly unaanzaje kukosa mechi hizi za kibabe bonyeza hapa kudownload app yetu uweze kutazama mechi hizi zote live bureee kabisa bureeee bofya sasa kuidownload app mapema ili kuepuka usumbufu

Baada ya timu ya AS FAR Rabat kupata ushindi wa goli 1-0 dhidi ya OC Safi katika muendelezo wa ligi kuu nchini Morocco ni rasmi sasa Wydad Casablanca wameondolewa katika mbio za ubingwa nchini humo.

AS FAR Rabat imefikisha alama 58 huku Wydad Casablanca wakiwa na alama 34 huku zikiwa zimebaki mechi 7 ambazo hata kama watashinda mechi zote hizo watafikisha alama 57 ambazo tayari AS FAR Rabat wameshazivuka.

Nafasi ya pili ni Raja Casablanca mwenye alama 54, tatu ni FUS Rabat alama 38 na wa nne ni RS Berkane mwenye alama 37.

Kwa mwenendo huu wa jeshi la Nabi katika ligi kuu nchini Morocco ni wazi kuwa Nabi anakwenda kuchukua ubingwa wa nchi hiyo na hivyo kutengeneza picha na taswira tofauti katika ubingwa wa nchi hiyo ambao umeshuhudiwa ukitawaliwa zaidi na timu Wydad na Raja.

Kwa takwimu hizo ni wazi kuwa, FAR Rabat na Raja Casablanca ndiyo timu pekee za Morocco zitakazocheza michuano Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) msimu ujao ambapo Wydad ambaye atamaliza nje ya top 2, hatakuwa sehemu ya michuano hiyo kwa mujibu wa kanuni za mashindano.

JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPAz



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz