Mamelodi wapewa onyo dhidi ya Yanga - EDUSPORTSTZ

Latest

Mamelodi wapewa onyo dhidi ya Yanga

Mwandishi nguli wa habari za michezo barani Afrika Mamadou Gaye

Bonyeza hapa kudownload app yetu ili uweze kutazama mechi ya Yanga vs Mamelodi live ( mubashara ) bureeee kabisa hakuna kulipia ni mb zako tu unachelewa nini sasa bofya sasa

Mwandishi nguli wa habari za michezo barani Afrika Mamadou Gaye amezungumza na PitchSide Podcast ya Mamelodi na kwenye mazungumzo hayo ,amewapa tahadhari Mamelodi kuelekea mechi yao dhidi ya Yanga

Mamadou ametaja baadhi ya sababu ikiwemo ya Yanga kutoka kupoteza kwenye mechi yao ya mwisho dhidi ya Azam FC hii imewaongezea umakini lakini pia kucheza fainali kwenye CAF CC msimu uliopita kunawapa shauku ya kufanya vizuri kwenye CAF CL

“Kama wameweza kucheza fainali ya CAF Confederation Cup kwanini washindwe kucheza Nusu Fainali ya CAF Champions League “

“Kama Mamelodi itajisahau basi itashangazwa “




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz