Huyu hapa Mwamuzi wa Simba Vs Al Ahly - EDUSPORTSTZ

Latest

Huyu hapa Mwamuzi wa Simba Vs Al Ahly

Huyu hapa Mwamuzi wa Simba Vs Al Ahly

Ni leo usikose kuitazama mechi ya Simba vs Al ahly live bure kupitia simu yako bonyeza hapa kudownload app itakayo rusha mechi hii bure kabisa bofya sasa kuipakua

Huyu hapa Mwamuzi Abongile Tom (32) kutoka Afrika Kusini ndiye ataamua mchezo wa leo kati ya Simba SC dhidi ya Al Ahly SC ya Misri.

Mwamuzi huyu wa kimataifa amekuwa akitumika zaidi katika mechi mbalimbali za kimataifa ikiwemo michuano ya AFCON iliyofanyika Ivory Coast mwaka huu.

Abongile ndiye aliamua mchezo wa hatua ya makundi ya #CAFCL kati ya Wydad AC dhidi ya Simba SC iliyopigwa Desemba, 2023 nchini Morocco na kumalizika kwa 1-0 goli la dakika za Jioooni.

JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz