Hawa hapa wachezaji muhimu wa Yanga watakao ikosa mechi ya namungo leo - EDUSPORTSTZ

Latest

Hawa hapa wachezaji muhimu wa Yanga watakao ikosa mechi ya namungo leo

 Mechi ya Ushindi na Heshima Leo Yanga Vs Madeama

Bonyeza hapa kudownload app yetu ili uweze kutazama mechi ya Namungo vs Yanga live bure kabisa yaani mb za miatano unamaliza mechi

Kikosi cha Yanga kiko Ruangwa kuelekea mchezo wa ligi kuu dhidi ya Namungo Fc ambao utapigwa baadae leo saa 12 jioni katika uwanja wa Majaliwa

Ni mechi muhimu kwa Yanga kwani ushindi utawashuhudia wakirejea kileleni mwa msimamo wa ligi

Hata hivyo Namungo Fc hajawahi kuwa mpinzani mwepesi kwa Yanga hivyo ni mechi ambayo itakuwa ngumu

Mara ya mwisho timu hizo zilipokutana jijini Dar es salaam Yanga iliibuka na ushindi wa bao 1-0 ambalo lilifungwa na Mudathir Yahya katika dakika ya 88

Wananchi leo wanatarajiwa kuwakosa badhi ya nyota wao ambao wamebaki jijini Dar es salaam kutokana na majeraha na matatizo ya kifamilia

Djigui Diarra, Khalid Aucho, Joyce Lomalisa na Pacome Zouzoua sio sehemu ya wachezaji ambao wako Ruangwa

Pengine Wananchi leo watarajie kumshuhudia Maxi Nzengeli akirejea kikosini wakati Augustine Okrah huenda akapata nafasi ya kuanza katika mchezo huo

JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz