Aziz Ki bado yupo sana Jangwani - EDUSPORTSTZ

Latest

Aziz Ki bado yupo sana Jangwani

Aziz Ki

Usikose kuitazama mechi ya Yanga vs Mamelodi Live bure bonyeza hapa kudownload app itkayoonesha mechi hii buree kabisa idownload mapema ili usipitwe

Tetesi zinadai kuwa Stephan Aziz Ki amekubali kusaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kusalia kwenye klabu ya Yanga baada ya majadiliano ya pande zote mbili.

Tetesi zinadai kuwa Stephan Aziz Ki amekubali kusaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kusalia kwenye klabu ya Yanga baada ya majadiliano ya pande zote mbili. Nyota huyo alikuwa anamaliza mkataba wake wa sasa mwishoni mwa msimu huuu na majadiliano baina ya pande zote yalianza toka mwishoni mwa mwaka jana na sasa yamefikia mahali pazuri na muda wowote atasaini mkataba mpya.

JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz