Yanga yashika no 1 Afrika kwenye Jambo hili - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga yashika no 1 Afrika kwenye Jambo hili

 

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Klabu ya Yanga imeendelea kuitikisa Afrika kwenye mitandao ya kijamii ikiwa klabu iliyofuatiliwa zaidi katika mtandao wa Instagram kwa mwezi August 2023


Takribani watu Milioni 10.1 wametembelea ukurasa rasmi wa Yanga kwa mwezi August ikishika nafasi ya kwanza


Katika orodha ya timu tano zilizofuatiliwa zaidi, Simba ya Tanzania inashika nafasi ya pili wakati vigogo wa soka barani Afrika Al Ahly wakishika nafasi ya tatu


Raja Casablanca imeshika nafasi ya nne wakati Wydad wakikamata nafasi ya tano


Yanga pia imeendelea kufanya vizuri Youtube chaneli yake ikiwa miongoni mwa chaneli tano zilizofuatiliwa zaidi Tanzania



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz