Washindani Ballon D'or kujulikana leo - EDUSPORTSTZ

Latest

Washindani Ballon D'or kujulikana leo

 Karim Benzema ndio aliebeba Tuzo hiyo mwaka jana

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Washindani wa tuzo ya Ballon d'Or leo listi yao itatoka rasmi na mshindi atatangazwa Oktoba 30 jijini Paris, Ufaransa.


Lionel Messi ndiye anayeongoza kuchukua mara nyingi tuzo hiyo kubwa duniani akitwaa mara saba na Cristiano Ronaldo mara tano.


Mwaka jana tuzo hiyo ilienda kwa Karim Benzema akiwa Real Madrid.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz