KMC yapewa onyo kali Ligi Kuu - EDUSPORTSTZ

Latest

KMC yapewa onyo kali Ligi Kuu

KMC yapewa onyo kali Ligi Kuu

 Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Klabu ya KMC imepewa Onyo Kali na bodi ya Ligi kuu Tanzania (TPLB) kwa kosa la kuwakilishwa na maafisa wanne tu badala ya watano kwenye mkutano wa maandalizi ya dhidi ya JKT Tanzania uliofanyika Septamba 15, 2023 uliomalizika Kwa ushindi wa 2-1 kwa KMC.


Aidha KMC imepewa Onyo Kali kwa kosa la kocha wake mkuu, Abdihamid Moalin na mchezaji Waziri Junior kuchelewa kufika kwenye mkutano wa Wanahabari Septemba 14, 2023.


Wawili hao walifika mkutanoni saa 5:18 asubuhi badala ya saa 5:00 asubuhi kwa mujibu wa ratiba ya mikutano hiyo ya kikanuni.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz