Kisa hiki...!Simba walimwa Faini - EDUSPORTSTZ

Latest

Kisa hiki...!Simba walimwa Faini

 Simba SC

Klabu ya Simba SC imepigwa faini ya shilingi million moja (1,000,000/=) na bodi ya ligi TPLB.

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Hii ni baada ya maafisa wake usalama kumfanyia vurugu Kiongozi mmoja wa Coastal Union kwenye mchezo wa ligi kuu soka Tanzania Bara Kati ya Simba SC dhidi ya Coastal Union, ulipigwa katika uwanja wa Uhuru.


Simba SC ilishinda mchezo huo kwa mabao matatu kwa sifuri.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz