Simon Msuva atambulishwa JS Kabylie - EDUSPORTSTZ

Latest

Simon Msuva atambulishwa JS Kabylie

 Msuva atua kwa Waarabu Algeria

Mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania, Simón Happygod Msuva amesaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na klabu ya JS Kabylie ya Algeria kutoka Al Qadisiya ya Saudi Arabia.

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania, Simón Happygod Msuva amesaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na klabu ya JS Kabylie ya Algeria kutoka Al Qadisiya ya Saudi Arabia. Msuva alikuwa akiwaniwa na Vigogo wa Soka la Tanzania vilabu vya Simba na Yanga lakini akaamua kuibukia Algeria taarifa ambayo hapo awali ilielezwa na Baba yake.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz