Simba yawasilisha Ombi hili TFF ni kuhusu jambo hili - EDUSPORTSTZ

Latest

Simba yawasilisha Ombi hili TFF ni kuhusu jambo hili

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Mchezo wa ligi kuu ya NBC kati ya Simba dhidi ya Coastal Union huenda ukapigwa Ijumaa, August 25 katika uwanja wa Uhuru


Mchezo huo haukupangiwa tarehe awali kutokana na muingiliano wa ratiba na mechi za Kimataifa


Mwezi Septemba ligi itasimama kupisha kalenda ya CAF mechi za kuwania kufuzu Afcon 2023

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Klabu ya Simba imewasiliasha ombi kwa Bodi ya Ligi kuomba mchezo huo uchezwe kabla ya ligi kusimama kwakuwa timu zote Simba na Coastal Union hazina ratiba ya yoyote ya mechi wiki hii


Baada ya kalenda ya Kimataifa, Simba inakabiliwa na mechi za raundi ya kwanza ligi ya mabingwa ambazo zitafuatiwa na Super League inayotarajiwa kuanza Oktoba 20 na kufikia tamati Novemba 08



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz