Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA
Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA
Simba inatarajiwa kumruhusu mchezaji huyo kwenda kusaka changamoto sehemu nyingine
Ni baada ya kukamilisha usajili wa mlinda lango Ayoub Lakred kutoka klabu ya FAR Rabbat ya Morocco
Simba inapaswa kuengua jina la mchezaji mmoja ili kusalia na wachezaji 12 ili kukidhi kanuni za shirikisho la mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA
Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA
Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA
Dirisha la usajili la ndani pamoja na lile la CAF yote yatafungwa August 31
Banda huenda akatimkia Ufaransa kuungana na Pape Ousmane Sakho ambaye Simba ilimuuza klabu ya Union Sportive Quevillaise-Rouen Metropol inayoshiriki ligi daraja la kwanza
No comments:
Post a Comment