Mshambuliaji Mpya wa Yanga Konkoni yuko tayari kwa dabi - EDUSPORTSTZ

Latest

Mshambuliaji Mpya wa Yanga Konkoni yuko tayari kwa dabi

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Baada ya mazoezi ya wiki mbili, mshambuliaji wa Yanga Hafiz Konkoni yuko tayari kuanza kuonyesha makali yake


Pengine Wananchi watarajie kumuona uwanjani hapo kesho katika mchezo wa fainali Ngao ya Jamii dhidi ya Simba ambao utapigwa uwanja wa Mkwakwani


Konkoni alikuwa mchezaji wa mwisho kusajiliwa na Yanga katika dirisha hili, usajili wake ukikamilishwa siku moja kabla ya dirisha la CAF kufungwa


Konkoni alihitaji angalau wiki mbili za kufanya mazoezi ili kujiweka fiti kabla ya kuanza kucheza mechi za ushindani


Hakutumika katika mchezo wa nusu fanali dhidi ya Azam Fc, lakini matarajio ni makubwa atakuwa na dakika zake kwenye mchezo dhidi ya Simba



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz