KMC yaomba radhi baada ya kupigwa 5G

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Uongozi wa klabu ya KMC umewaomba radhi wapenzi na mashabiki wake baada ya kuchabangwa mabao 5-0 na Yanga katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa uwanja wa Azam Complex jana


Taarifa iliyotolewa na timu hiyo mapema leo, imebainisha kuwa wamekubali kipigo hicho ni kikali lakini hayakuwa matarajio yao


Timu hiyo inaanza maandalizi ya mchezo wa ligi kuu utakaofuata dhidi ya JKT Tanzania ambao utapigwa Septemba 15

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post