Haji Manara awatakia kila kheri Yanga awapiga kijembe TFF - EDUSPORTSTZ

Latest

Haji Manara awatakia kila kheri Yanga awapiga kijembe TFF

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Aliyewahi kuwa ofisa habari wa Yanga SC, Haji Manara amewatakia kila lakheri Wananchi Yanga SC katika uzinduzi wao wa documentary huku akirusha kijembe kiaina kwa TFF.


Kwenye ukurasa wake wa Instagram, Manara ameposti picha ya mgeni rasmi wa hafla hiyo ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila na kusindikiza na ujumbe huu:


"Kila la kheri Wananchi kwenye Documentary yetu kubwa ya leo. I wish ningekuwepo lakini nikienda tu kesho Press Release. Hope mtaenjoy hii kitu."


Haji alifungiwa kujihusisha na mpira wa miguu kwa kipindi cha miaka miwili na TFF hivyo inaonesha kwamba amehofia kwenda kwenye uzinduzi huo kwa kuhofia atalimwa barua na TFF.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz