Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA
Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA
Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA
Klabu ya Yanga SC imefikia makubaliano na upande wa mchezaji Mohammed Zougrana raia wa Ivory Coast baada ya kukamilika kwa mazungumzo na klabu yake ya Asec Mimosas
Taarifa kutoka ndani ya Yanga zinaeleza kuwa, Mohammed Zougrana mwenye umri wa miaka 20 amekubali kujiunga na klabu ya Yanga SC.
Hata hivyo, uongozi wa Yanga upo tayari kukamilisha usajili huu kwa gharama yeyote.
Download our APP from Google Playstore using the link here>>>
Join Our Telegram Channel for Daily Updates
CLICK HERE
No comments:
Post a Comment