Yanga watangaza balaa Tena, ni muda wa kushusha vyuma

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Baada ya utambulisho wa beki kisiki Gift Fred aliyetua Yanga kutoka SC Villa ya Uganda, Wananchi watashusha silaha nyingine. Imeelezwa leo mtikisiko utakuwa mkubwa zaidi pengine kuliko jana


Mpaka sasa Yanga imetambulisha wachezaji wawili, Nickson Kibabage na Gift, bado kuna kuna silaha nyingine zinasubiri kuwekwa hadharani

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post