Yanga waendelea kuibomoa Asec, wahamia kwa Straika hatari wa mabao - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga waendelea kuibomoa Asec, wahamia kwa Straika hatari wa mabao

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Klabu ya Yanga ipo katika hatua nzuri kuipata saini ya Mshambuliaji wa klabu ya Asec Mimosas Sankara Karamoko (19).


Mazungumzo Binafsi baina ya Mchezaji na klabu ya Yanga yalishafika pazuri na kinachoendelea sasa ni mazungumzo na klabu yake ya ASEC Mimosas.


Endapo Yanga SC watafanikisha usajili huu wa Sankara, basi safu yao ya Ushambuliaji itakuwa:


Sankara Karamoko


Clement mzize


Kennedy Musonda



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz