Watatu kutoka Ligi Kuu Tz bara watimkia Ulaya - EDUSPORTSTZ

Latest

Watatu kutoka Ligi Kuu Tz bara watimkia Ulaya

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Klabu ya FC West Armernia inayoshiriki Ligi Daraja la kwanza Nchini Armenia imekamilisha Usajili Nyota watatu kutoka Tanzania ambao ni Yusuph Athuman kutoka Yanga, Erick Mwijage kutoka Kagera na Abal Kassim kutoka Ruvu Shooting.


Klabu ya FC West Armernia inayoshiriki Ligi Daraja la kwanza Nchini Armenia imekamilisha Usajili Nyota watatu kutoka Tanzania ambao ni Yusuph Athuman kutoka Yanga, Erick Mwijage kutoka Kagera na Abal Kassim kutoka Ruvu Shooting. Kila la heri kwa nyota hao wa Tanzania.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz