Simba wamtambulisha beki Hussein Kazi kutoka Geita Gold - EDUSPORTSTZ

Latest

Simba wamtambulisha beki Hussein Kazi kutoka Geita Gold

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Klabu ya Simba imethibitisha kukamilisha usajili wa mlinzi wa kati Hussein Kazi kwa kandarasi ya miaka miwili kutoka Geita Gold.


Klabu ya Simba imethibitisha kukamilisha usajili wa mlinzi wa kati Hussein Kazi kwa kandarasi ya miaka miwili kutoka Geita Gold. Kazi amewahi pia kuhudumu katika Klabu ya Mbeya Kwanza ya jijini Mbeya ambayo ilishuka Daraja misimu miwili iliyopita.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz