Simba wamtambulisha beki Hussein Kazi kutoka Geita Gold

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Klabu ya Simba imethibitisha kukamilisha usajili wa mlinzi wa kati Hussein Kazi kwa kandarasi ya miaka miwili kutoka Geita Gold.


Klabu ya Simba imethibitisha kukamilisha usajili wa mlinzi wa kati Hussein Kazi kwa kandarasi ya miaka miwili kutoka Geita Gold. Kazi amewahi pia kuhudumu katika Klabu ya Mbeya Kwanza ya jijini Mbeya ambayo ilishuka Daraja misimu miwili iliyopita.

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post