Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA
Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA
Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA
Uongozi wa Bayern umethibitisha kwa sasa hauhitaji kumtegemea Msenegali huyo(kwa msimu ujao).
Mane alikuwa ameamua kuendelea na Bayern kabla ya yeye na uongozi wake kupewa taarifa hizo.
Mane ni miongoni mwa wachezaji wanaolipwa mishahara mikubwa katika klabu ya Bayern Munich.
Sadio Mane alijiunga na Bayern msimu wa joto wa 2022, na kusaini kandarasi ya miaka mitatu akitokea Klabu ya Liverpool alikocheza kwa mafanikio makubwa.
Post a Comment