Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA
Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA
Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA
Joash Onyango Singida Fountain Gate FC
Klabu ya Singida Fountain Gate FC imekamilisha usajili wa Beki, Joash Onyango raia wa Kenya kutoka Simba SC.
Onyango mwenye umri wa miaka 30 amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Singida Fountain Gate FC hadi July 2026.
Post a Comment