Nabi akutana na Fei Toto Tunisia

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Kiungo wa Azam FC Feisal Salum 'Feitoto' amekutana na kocha wake wa zamani Nasredine Nabi nchini Tunisia.


Feitoto kwa sasa yupo nchini Tunisia kwa ajili ya pre-season na timu yake mpya ya Azam FC baada ya kuondoka Yanga aliyoitumikia kwa miaka minne.


Aidha, Kocha Nabi ambaye naye ameachana na Yanga baada kumalizika msimu uliopita, ameshatangazwa kuwa kocha mkuu wa AS FAR Rabat ya Morocco lakini kwa sasa yupo nyumbani kwao Tunisia kwa mapumziko kabla ya kuanza majukumu yake mapya na timu yake mpya.

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post