Mkude afuta picha zote za Simba - EDUSPORTSTZ

Latest

Mkude afuta picha zote za Simba

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Katika jambo lisilo la kawaida kiungo wa zamani wa Simba Jonas Mkude amefuta picha karibia zote akiwa Simba SC kwenye ukurasa wake wa Instagram na kubakiza picha tatu pekee.


Tukio hili linatafsriwa kama Mkude amechukizwa na maamuzi ya klabu hiyo ambayo ameitumikia kwa miaka 13 kumuacha bila heshima.


Hii inahusishwa na kujiunga kwake na wapinzani wa Simba (Yanga SC).




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz