Mbwana Samatta ajiunga na PAOK FC ya Ugiriki - EDUSPORTSTZ

Latest

Mbwana Samatta ajiunga na PAOK FC ya Ugiriki

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


Nahodha wa timu ya Taifa Tanzania (Taifa Stars) Mbwana Samatta amejiunga na klabu ya PAOK ya Ugiriki akitokea klabu ya Fenerbahce aliyovunja nayo mkataba.


Samatta aliyekipiga KRC Genk msimu uliopita akiwa kwa mkopo akitokea Fernabache amejiunga na PAOK ambao msimu ujao watashiriki mashindano ya Europa.


PAOK wameweka taarifa ya Samatta kujiunga na timu yao, lakini hawajaandika amejiunga na mkataba wa muda gani.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz