Mashabiki ASEC Mimosas waingilia kati kuchukuliwa nyota wao

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Mashabiki wa Klabu ya ASEC Mimosas ya nchini Ivory Coast wamechukizwa na kuondoka kwa Kramo, Yao na Zougrana.


Uongozi wa klabu umetoa ufafanuzi ni kwa nini hasa imeamua kuachana na nyota hao ndani ya kikosi chao.


"Wamekiri kuwa wana kiwango kikubwa cha mishahara,wakati hali ya uchumi kama klabu kwao mgumu


Wachezaji wameondoka kwa sababu walipewa ofa kubwa ambazo wao hawana uwezo wa kuwapa.


Simba na Yanga kwa nyakati kadhaa msimu huu wamebeba wachezaji kutoka katika Klabu hiyo.

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post