BREAKING: Yanga hawapoi, wamtambulisha Maxi Mpia Nzengeli - EDUSPORTSTZ

Latest

BREAKING: Yanga hawapoi, wamtambulisha Maxi Mpia Nzengeli

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Baada ya kumtambulisha Winga Nickson Kibabage, Mlinzi Gift Fred kutoka Uganda, Kiungo Jonas Gerald Mkude alieachana na watani zao Simba SC.

Klabu ya Yanga imeendelea kuboresha kikosi chake baada ya leo kumtambulisha winga Maxi Mpia Nzengeli ukiwa ni usajili wao wa nne katika Dirisha hili kubwa la Uhamisho.

Nzengeli aliekuwa anachezea AS maniema amesaini Mkataba wa Miaka miwili na Yanga. Ujio wa Nzengeli ni kama Yanga wamekuja kuziba nafasi za mawinga wao Bernard Morisson na Tuisila Kisinda walioachana nao mwishoni mwa msimu uliopita.


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz