Barbara Gonzales achafua hali ya hewa Simba SC - EDUSPORTSTZ

Latest

Barbara Gonzales achafua hali ya hewa Simba SC

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Siku maoja baada ya Rais wa heshima wa Simba SC, Mohammed Dewji kupost ujumbe ambao umezua sintofahamu kwa Mashabiki na wananchama wa Klabu ya Simba SC akidai kuchoka kutokana na kutokamilika kwa mchakato wa Transformation ndani ya Klabu ya Simba kwa miaka sita.


Leo Julai 12, aliekuwa CEO wa Simba SC, Barbara Gonzalez ametweet ujumbe ambao umeacha maswali kwa walio wengi.


Kupitia ukurasa wake wa Twitter Barbara ameandika;


"Hauwezi kudhulumu haki za watu halafu ukataka amani na mafanikio."




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz