Barbara azidi kukichafua huko Twitter - EDUSPORTSTZ

Latest

Barbara azidi kukichafua huko Twitter

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Aliyekuwa CEO wa Simba SC, Barbara Gonzalez ameendelea kukinukisha huko Twitter kwa kuandika jumbe zake tata.


Mapema hii leo Julai 14, 2023, Barbara ameweka ujumbe mpya uliosomeka hivi:


"Ulevi wa madaraka haujawahi kuwa na mwisho mwema."


Kama kawaida ujumbe huo umezua mjadala na watu kuhoji ni kitu gani kilichopo nyuma ya jumbe hizo zinazoonekana kama kuna watu anawalenga.


Kabla ya ujumbe huo, Barbara aliandika jumbe nyingine tata ambazo pia ziliibua mjadala wa kutosha.


"Usilipize ubaya kwa ubaya, lakini usiwe mnyonge kudai haki zako!"


"Hauwezi kudhulumu haki za watu halafu ukataka amani na mafanikio."



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz