Yanga yakumbana na vurugu za mashabiki Algeria - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga yakumbana na vurugu za mashabiki Algeria

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Usiku wa kuamkia leo, mashabiki wa USM Alger walivamia hotel waliyofikia Yanga huko Algeria na kufanya vurugu


Kulikuwa na mfululizo wa fataki na kelele za mashabiki katika Hoteli ya Legacy ambayo Yanga imefikia


Yanga tayari imewasilisha malalamiko kwa Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) kutokana na vurugu hizo


Hata hivyo wachezaji wa Yanga wako salama wakisubiri kushuka dimbani majira ya saa 4 usiku katika mchezo wa pili fainali kombe la Shirikisho, Yanga ikihitaji kushinda mabao 2-0 ili kutwaa ubingwa



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz