Yanga wapata baraka hizi kutoka FIFA

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), Gianni Infantino ameipongeza Yanga SC kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2022/2023.


Katika pongezei hizo, Infantino amesema isingekuwa rahisi kutwaa ubingwa huo bila bidii ya timu nzima, ari na kujitolea na kila mtu kwenye timu hiyo anajivunia hilo.


Aidha, amelipongeza Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa mchango wake katika maendeleo ya soka nchini Tanzania na Afrika.

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post