Yanga nao watangaza balaa hii hapa siku ya kitambulisho vyuma vipya - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga nao watangaza balaa hii hapa siku ya kitambulisho vyuma vipya

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Afisa habari wa Yanga Ali Kamwe amesema wiki ijayo wataanza rasmi kutangaza nyota wanaoingia katika kikosi cha Yanga kuchukua nafasi za wachezaji walioondoka


Kamwe amesema wiki hiyo ya kwanza mwezi Julai pia itasheheni matukio makubwa akiwataka Wanachama na Mashabiki wa Yanga wakae tayari


"Baada ya kumaliza Mkutano Mkuu, wiki ijayo itakuwa ya moto kwani tutakuwa na matukio makubwa kwa ajili ya klabu yetu"


"Tutafanya uzinduzi wa jezi zetu mpya kwa ajili ya msimu wa 2023/24 na pia kuna mikataba ya udhamini tutasaini kabla ya kuanza zoezi la kushusha vyuma"


"Wiki hii tutakamilisha zoezi la kuagana na wachezaji ambao tulikuwa nao msimu uliopita lakini hatutaendelea nao," alisema Kamwe


Dirisha la usajili linatarajiwa kufunguliwa kesho Julai 01 na kufungwa August 31



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz