Simba mbioni kuibomoa yanga na kumchukua huyu - EDUSPORTSTZ

Latest

Simba mbioni kuibomoa yanga na kumchukua huyu

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Simba huenda ikamrejesha kocha wa magolikipa Milton Nienov ambaye amemaliza mkataba na Yanga


Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi klabu ya Simba Salim Abdallah 'Try Again' amebainisha kuwa wamefanya tathmini ya mambo yaliyowakwamisha kushinda taji lolote msimu huu


Uongozi wa Simba umedhamiria kufanya marekebisho katika usajili wa wachezaji pamoja na maboresho ya benchi la ufundi


Nienov alijiunga na Yanga baada ya Simba kusitisha mkataba wake sambamba na Kocha viungo Adel Zrane na Didie Gomez aliyekuwa kocha mkuu


Simba ilichukua uamuzi huo mwaka 2021 baada ya kutolewa kwenye michuano ya ligi ya mabingwa na Jwaneng Galaxy


Aidha Simba pia inahusishwa na Kocha wa viungo kutoka klabu ya Rayon Sport Hategekimana Corneille


Corneille amewahi kufanya kazi na Kocha Mkuu wa Simba Robertinho Oliveira wakati akiinoa Rayon msimu wa 2018/19



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz