Kumekucha Azam FC, Mwingine afungashiwa mabegi - EDUSPORTSTZ

Latest

Kumekucha Azam FC, Mwingine afungashiwa mabegi

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Aliekuwa Nahodha wa muda mrefu wa Azam FC, Mkongwe Aggrey Morris safari hii ujumbe wa shukurani unaovuma sana vilabuni "Thank you" umemuhusu.


Aliekuwa Nahodha wa muda mrefu wa Azam FC, Mkongwe Aggrey Morris safari hii ujumbe wa shukurani unaovuma sana vilabuni "Thank you" umemuhusu. Azam imeachana na Morris ambae msimu huu alikuwa ni sehemu ya benchi la ufundi na kuongeza idadi ya watu walioachwa Azam FC.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz