Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA
Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA
Mbeya City wamelazimika kushuka daraja baada ya kupokea kipigo cha goli 1-0 na Mashujaa FC.
Mbeya City walikuwa nyumbani kumalizia mchezo wa pili wa play off baada ya mchezo wa awali kumalizika kwa Mashujaa kuibuka na ushindi wa 3-1.
Goli la Mbeya City lilifungwa dakika za jioni kabisa baada Mashujaa kukaza vilivyo na kuzuia mashambulizi mengi ambayo hayakuzaa matunda.
No comments:
Post a Comment