Fei Toto: Nacheza Yanga kwa ajili ya Mapenzi, Nilikataa kujiunga Simba - EDUSPORTSTZ

Latest

Fei Toto: Nacheza Yanga kwa ajili ya Mapenzi, Nilikataa kujiunga Simba

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Baada ya kupiga kimya kwa muda mrefu tangu kuibuka kwa sakata lake la kutaka kuvunja Mkataba na Klabu yake ya Yanga, Kiungo wa Yanga Feisal Salum hatimaye ameamua kufunguka kwa nini anataka kuvunja Mkataba na Klabu ya Yanga.


Wakati waliokuwa wengi wakishauri kuwa alipaswa kusubiri Mkataba wake uishe ndipo adai maslahi mapana, kiungo huyo ameweka wazi kuwa alikataa kujiunga Simba SC kwa dau kubwa akachagua kucheza Yanga.


Akizungumza Feisal kupitia Redio ya Clouds FM Feisal anasema;


"Nafsi yangu ilitamani kwenda kuchezea Yanga, nilikubali kwenda kuichezea Yanga kwa kipato kidogo zaidi ya kile ambacho nilikikataa Simba SC, ni kwasababu ya mapenzi tu"



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz