Cesar Lobi Manzoki afanya balaa china, ashinda tuzo ya MVP - EDUSPORTSTZ

Latest

Cesar Lobi Manzoki afanya balaa china, ashinda tuzo ya MVP

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Mshambuliaji wa zamani wa Vipers United ambaye kwa sasa anakipiga katika klabu ya Dalian Proffesional inayoshiriki Ligi Kuu ya China Cesar Lobi Manzoki ameshinda tuzo ya MVP.


Manzoki alihusishwa kutua Msimbazi wakati wa dirisha kubwa la usajili lakini pia dirisha dogo.


Hata hivyo inasemekana bado yupo kwenye mipango ya Simba SC katika dirisha kubwa la usajili.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz