Yanga watawala Kikosi bora cha wiki CAF - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga watawala Kikosi bora cha wiki CAF

Ofa ya Bando la Internet wiki BURE Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Timu ya Yanga imetoa wachezaji saba katika kikosi bora cha Wiki cha Michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya Nusu Fainali.


Katika mchezo wa mkondo wa kwanza uliopigwa jana Yanga ilishinda mabao 2-0 dhidi ya Marumo Gallants ya Afrika ya Kusini.


Timu nyingine zilizotoa wachezaji katika kikosi bora cha wiku ni Asec Mimosas (2) USN Algier na Marumo wakitoa mchezaji mmoja kila timu.


Taam kikosi kamili hapa chini;




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz