USAJILI: Yanga waanza kumnyemelea mchezaji huyu wa Al - hilal

Ofa ya Bando la Internet wiki BURE Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Za ndani kabisa! Klabu ya Yanga SC imepeleka ofa rasmi ya kuhitaji huduma ya mshambuliaji wa kimataifa Raia wa Congo anayekipiga Al-Hilal ya Sudani ili kuongeza nguvu katika msimu ujao.


Yanga SC inatumia nafasi hii ya machafuko ya kisiasa nchini humo ili kumnasa mchezaji huyo ambae mpaka sasa Ligi ya Sudan imasimama kufuatia vita ya ndani.


Makabi Lilepo ni moja kati ya washambuliaji kinara wa Klabu hiyo katika michuano yote waliyoshiriki huku akichangia asilimia kubwa ya magoli katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika licha ya kutolewa katika hatua ya makundi.

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post