Tff kuchunguza upangaji wa matokeo kwenye mechi hizi - EDUSPORTSTZ

Latest

Tff kuchunguza upangaji wa matokeo kwenye mechi hizi

Ofa ya Bando la Internet wiki BURE Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeutaarifu umma kuwa limepokea malalamiko ya kimaadili dhidi ya Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Tabora (TAREFA), Yusuph Kitumbo na Kocha Ulimboka Mwakingwe


Malalamiko hayo yanayohusisha madai ya upangaji matokeo yamewasilishwa na klabu ya Ligi ya Championship, Fountain Gate FC na tayari yamewasilishwa katika Kamati ya Maadili ya TFF ili yafanyiwe kazi kwa mujibu wa Kanuni za Maadili za TFF


Ili kulinda hadhi ya mpira wa miguu, TFF inawakumbusha wanafamilia wote wa mpira wa miguu kuwa itachukua hatua kali kwa yeyote atakayebainika kujihusisha na upangaji matokeo.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz